You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Iran
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Vatican
Vatican ndiyo makao makuu ya Kanisa Katoliki duniani pamoja na kiongozi wake, Papa
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Waumini wamuaga Benedikt wa 16 Roma
Waumini kutoka Bavaria,wakishirikiana na wenzao kutoka kila pembe ya dunia wamuaga kiongozi wa kanisa katoliki ulimwenguni
Waumini wamuaga Papa
Maelfu ya watu wamekusanyika katika uwanja wa kanisa la mtakatifu Petro wakihudhuria tukio la mwisho la baba mtakatifu Benedict wa 16 la kuwaombea waumini hadharani,
Kujiuzulu kwa Papa kwaliacha kanisa katika mshangao
Baada ya uamuzi wa Papa Benedikt wa 16 kujiuzulu hapo jana, kanisa katoliki limejikuta katika hali ambayo halijawahi kuwemo kwa kipindi cha takribani miaka 700. Swali kubwa sasa ni nini kinachofuata.
Papa Benedikt wa 16 atangaza kujiuzulu
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Ulimwenguni,Papa Benedikt wa 16, ametangaza atajiuzulu Februari 28, tukio la aina ya pekee katika historia ya Kanisa hilo, na hivyo kuuduwaza ulimwengu mzima.
Wakristo washeherekea Krismasi
Wakristo duniani kote leo (25.12.2012) wanaadhimisha sikukuu ya Krismasi.
Ziara ya Papa Benedikti nchini Lebanon
Awataka waumini wa dini zote kuishi kwa amani na maridhiano miongoni mwa Walebanon
Walibnan wamsubiri kwa shangwe na furaha Papa Benedikt wa 16
Kiongozi wa kanisa katoliki ulimwenguni, Benedikt wa 16, ameondoka Vatikani kuelekea Libanon ambako anatarajiwa kuwatolea mwito wakristo milioni 15 wa Mashariki ya kati waishi kwa amani pamoja na waislamu .
Waasi wa Syria wakataa kusaini makubaliano zaidi
Mpango wa amani wa Syria unaelekea kuwa hatarini baada ya kiongozi wa waasi, Kanali Riyadh al-Asaad, kukataa masharti mapya ya serikali ya Syria yanayowataka waasi hao kuwaondoa wapiganaji wao katika maeneo ya mapigano.
Papa Benedikt ziarani Ujerumani
Papa Benedikt wa 16 leo anaanza ziara yake rasmi ya siku nne nchini Ujerumani.
Ziara ya Papa nchini Uingereza
Ziara hiyo yagubikwa na kukamatwa kwa watu watano kwa tuhuma za kuwa tishio dhidi ya Papa.
Papa kukutana na Askofu Mkuu Rowan Williams
Papa atakutana na kiongozi huyo wa Kanisa la Kianglikani duniani Askofu Mkuu Rowan Williams katika makaazi yake mjini London, ambapo pia atahudhuria Ibada ya Misa Takatifu itakayoongozwa na Askofu huyo.
Papa ataka amani ya kudumu Ireland ya Kaskazini
Wito huo ameutoa leo alipotoa hotuba yake ya kwanza huko Edinburgh alipokaribishwa na Malkia Elizabeth II.
Papa kufanya ziara Uingereza
Ziara hiyo ya kichungaji ya Baba Mtakatifu Benedikto wa Kumi na Sita inaonekana kukabiliwa na changamoto, yakiwemo maandamano ya kuipinga.
Rais Bush akaribishwa Vatican
Atakutana na Sarkorzy mjini Paris
Ziara ya Papa Benedict nchini Marekani yafikia kilele
Benedict anatarajiwa kuhutubia baraza la Umoja wa Mataifa mjini New York
Papa Benedikt XVI amewasili Uturuki kwa ziara ya siku nne
Baba Mtakatifu Benedikt XVI hii leo anafanya ziara yake ya kwanza katika nchi yenye Waislamu wengi-Uturuki.
Papa Benedict XVI ziarani Poland
Kiongozi wa kanisa katoliki papa Benedict XVI ameanza ziara yake ya siku nne nchini Poland hii leo. Anaitembelea nchi ya kiongozi wa zamani wa kanisa hilo, Yohana Paulo II katika ziara itakayomleta karibu na wapoland walioteswa na manazi wa Ujerumani wakati wa vita vya pili vya dunia.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 5 wa 5
Ukurasa unaofuatia