1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uingereza, Canada na Australia watambua Dola la Palestina

22 Septemba 2025

Uingereza, Canada na Australia siku ya Jumapili zilitangaza kulitambua Taifa la Palestina. Wakuu wa mataifa hayo walitangaza kupitia video zilizochapishwa kwenye mitandao ya kijamii hatua inayofufua matumaini ya amani na suluhisho la mataifa mawili kati ya Israel na Palestina.

https://p.dw.com/p/50stL
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio