1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tiba kwa akina mama waliopoteza watoto wao

10 Mei 2023

Kwa akina mama, kupoteza mtoto baada ya kuzaliwa ni uzoefu wa kutisha. Sasa, shirika lisilo la kiserikali la Kenya linasaidia akina mama kukabiliana na uchungu wa kihisia wa vifo vya watoto wachanga. Vifo vya watoto wachanga katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki kwa sasa vinafikia vifo 21 kwa kila watoto 1,000 wanaozaliwa, kulingana na utafiti wa hivi karibuni. #KurunziWanawake

https://p.dw.com/p/4RA0h