1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania na juhudi za kupambana na malaria

25 Aprili 2019

Tanzania ni miongoni mwa mataifa yanayopambana kuhakikisha yanautokomeza kabisa ugonjwa wa malaria. Taasisi ya chanjo Tanzania inafanya juhudi kuhakikisha nchi hiyo inaingia katika mataifa yatakayotoa chanjo za malaria. Kurunzi 25.04.2019

https://p.dw.com/p/3HRdc