1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari ya Asubuhi 08.02.2022

Josephat Charo
8 Februari 2022

Rais wa Marekani Joe Biden aonya kuhusu mradi wa bomb ala gesi la Nord Stream 2. Rais wa Urusi Vladimir Putin asema nchi yake haihusiki na wakandarasi wa kibinafsi wa kijeshi wa Urusi nchini Mali. Na mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran kuendelea leo mjini Vienna, Austria.

https://p.dw.com/p/46eum