1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Serikali Tanzania yasambaza nishati ya gesi majumbani

17 Mei 2018

Nchini Tanzania nishati ya Gesi Asilia huenda ikawa muarubaini wa mabadiliko ya tabia nchi baada ya nchi hio kuanza kuwasambazia wananchi wake nishati ya gesi kama mbadala wa nishati haribifu za mazingira.

https://p.dw.com/p/2xtVi