1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Muziki

Saidi Kanda, mtangaza ngoma ya Tanzania

Sudi Mnette19 Desemba 2018

Mwanamuziki wa muziki wa dansi wa Tanzania Saidi Tumba kwa sasa amekuwa balozi wa taifa hilo kwa kupiga ngoma mbalimbali za asili ya Tanzania katika majukwaa ya kimataifa. Zaidi msikilize katika kipindi cha Karibuni, mwanamuziki huyo mwenye maskani yake mjini London, Uingereza.

https://p.dw.com/p/3ANkf