1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Msichana Jasiri: Fasihi andishi mitandaoni

19 Novemba 2021

Getrude Mligo ni binti ambaye ameona ombwe katika mitandao ya kijamii na akaamua kutumia fasihi andishi ili kuelimisha wasichana kutumia mitandao ya kijami kwa njia yenye manufaa. Ungana na Hadija Halifa ambaye amepiga stori na Getrude.#msichanajasiri

https://p.dw.com/p/43EDP