1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
JamiiAfrika Kusini

Hatari ya utamaduni potofu ya 'Slay Queen' na 'Sugar Daddy' Afrika Kusini

15 Februari 2023

Picha kwenye mitandao ya kijamii ya wasichana wasiokuwa na aibu wakijaribu kuonyesha maisha ya kifahari, zimechochea utamaduni wa baadhi yao kushiriki "ngono ya miamala." Tumezungumza na baadhi yao mjini Johannesburg Afrika Kusini na wanathibitisha kuwa maisha ya starehe yana gharama zake. #VijanaMubashara #77asilimia

https://p.dw.com/p/4NVz6