1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hashim Rungwe na siasa za Tanzania

14 Agosti 2018

Katika mahojiano haya ya "Kinagaubaga" Sudi Mnette amezungumza na mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma-CHAUMA Hashim Rungwe ambae anatoa tathmini yake ya hali ya kisiasa nchini Tanzania.

https://p.dw.com/p/339B5