Hali ilivyo vituoni vya kupiga kura
27 Septemba 2009Matangazo
Jumla ya Wajerumani milioni 62.2 wana haki ya kupiga kura ili kuvichagua vyama 28 vinavyowania nafasi katika Bundestag.Othman Miraji alizungumza na Oumilkheir Hamidou ambaye alipiga kura katika kituo kimoja kilichoko mjini Cologne jimbo la Nord-Rhein Westphalia.Sikiliza mahojiano hayo