Chama tawala CCM kimetangaza majina ya wagombea walioteuliwa kwenye uteuzi wa awali kwa ajili ya kuwania nafasi za ubunge na uwakilishi ikiwa ni harakati za kuelekea uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Saumu Mwasimba amezungumza na Luqman Maloto mchambuzi wa siasa Tanzania.