1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Bundesliga: Bayern Munich yaendeleza makali yake

13 Januari 2025

Bayern Munich na Bayer Leverkusen waandikisha ushindi muhimu wikendi ya kwanza ya mechi kwa 2025. Real Madrid yapigwa mukono fainali ya Super Cup. Na Zanzibar Heroes washuka dimbani dhidi ya Burkina Faso kwa fainali ya Kombe la Mapinduzi vikosi vimejiandaa vipi?

https://p.dw.com/p/4p7Mw