1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kipindi cha Karibuni 14.03.2020

12 Machi 2020

Sekta ya upashaji habari inakua kwa kasi katika maeneo tofauti duniani, lakini kwa namna ya kipekee nchini Tanzania radio ya mtandanoni ya vijana "Boresha Radio" imekuwa mfano wa aina yake kwa kujikita katika masuala ya maendeleo. Zaidi msikilize mkurugenzi wa redio hiyo, Mussa Sango alipozungumza na DW.

https://p.dw.com/p/3ZJ8K
Tansania Dar es Salaam | Mussa Sango - Leiter von "Boresha Radio"
Picha: DW/S. Mnette