Yaliyomo kwenye matangazo haya ni pamoja na zuio la wageni kutoka nchi za Kiislamu kuingia nchini Marekani latajwa kuwa zawadi kwa watu wenye misimamo mikali, mahakama ya Marekani yazuia kwa muda kuwarejesha wahamiaji na Martin Schulz kutangaza mipango yake ya uchaguzi nchini ujerumani.