Rais wa Marekani Donald Trump atangaza kurefusha muda wa makubaliano ya kusitisha mapigano na Iran. Mkutano wa kujalidi ulinzi wa Mlango-Bahari wa Hormuz kufanyika London. Sudan Kusini yaahidi kufanya uchaguzi mkuu mwezi Desemba, 2026 baada ya kucheleweshwa mara kwa mara.