Ungana na Sylvia Mwehozi katika afrika wiki hii;
#Kamati maalumu iliyoundwa kutathmini hali ya ugonjwa wa Covid-19 Tanzania yawasilisha ripoti yake####Tanzania na Uganda zatia saini mkataba wa ujenzi wa bomba la mafuta###Jaji Martha Koome aidhinishwa kuwa jaji mkuu wa kwanza mwanamke huko Kenya###hali mbaya ya ukame huenda ikasababisha mzozo wa kibinadamu katika kisiwa cha Madagascar.