1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wamakonde na utamaduni wa Ndonya

17 Mei 2021

Ndonya ni moja ya utamaduni maarufu miongoni mwa jamii za wamakonde na makabila mengine kama wamakua, wamatambwe nchini Tanzania. Hapo zamani ulitumika kutambulisha urembo wa mwanamke. Hata hivyo tamaduni hiyo hivi sasa inakwenda inafifia. #kurunzi 17.05.2021

https://p.dw.com/p/3tVsc