Baada ya serikali ya Tanzania kuchukua hatua ya kuwanusuru wakulima wa zao la korosho dhidi ya bei ndogo kutoka kwa wanunuzi binafsi, baadhi ya wakulima na wadau hao wameelezea hisia zao na kusifia hatua hiyo. Mengi ni katika vidio hii. Mpiga picha ni Yakub Talib