1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wakazi wa Dar wanazungumziaje unyanyasaji wa kijinsia?

14 Julai 2020

tatizo la vipigo na manyanyaso ya kijinsia limeendelea kuwa kubwa kote ulimwenguni. Na wanawake wameendelea kuwa waathirika wakubwa wa unyanyasaji huo. Video hii fupi ina maoni ya wakazi wa Dar es Salaam kuhusiana na vitendo hivyo. wasikilize. #Kurunziwanawake

https://p.dw.com/p/3fIB6