1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Usalama wa viumbe baharini

19 Januari 2021

Usalama wa bahari unatajwa kuwa mashakani kutokana na shughuli za kibinadamu zinazohatarisha uhai wa viumbe baharini kuendelea kushuhudiwa katika mataifa mengi ulimwenguni hatua inayowatoa hadharani wataalamu wa mazingira na kutoa wito wa harakla kunusu uhai chini ya maji. Vidio na Hawa Bihoga #kurunzi

https://p.dw.com/p/3o8RW