Juhudi za Rais wa Tanzania John Magufuli, za kuimarisha miundombinu ni sehemu ya hatua za kusaidia kurahisisha na kuboresha maisha ya wananchi wake. Ujenzi wa madaraja katika makutano ya barabara za juu na hata reli ya mwendokasi vimepokewa vyema na Watanzania. Fuatilia hapa katika video yake Yakub Talib