JamiiUhamasishaji madereva kuhusu usalama wa barabarani ArushaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamii15.09.202215 Septemba 2022Makosa mengi ya matumizi ya barabara yanayotokea Arusha yanatajwa kusababishwa na waendeshaji wa vyombo vya moto wasiozingatia sheria za barabarani huku lawama zikienda zaidi waendeshaji wa pikipiki za abiria maarufu kama Toyo au Bodaboda.https://p.dw.com/p/4GwH7Matangazo