Matangazo
Ongezeko la maji katika ziwa Victoria limefunika fukwe za mji wa Mwanza. Maeneo ambayo watu walikuwa wakipumzikia wakibarizi upepo na kufurahia mandhari ya kiopee ufukweni yamefunikwa na maji. Wadau katika sekta ya hoteli na utalii wameathiriwa mno. Dotto Bulendu anasimulia zaidi.