1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari ya Asubuhi 13.01.2021

V2 / S12S13 Januari 2021

VIDOKEZO: Makamu wa rais wa Marekani Mike Pence akataa kutumia ibara ya 25 ya katiba ya nchi hiyo kumuondoa Rais Trump madarakani:// Rais wa Uganda Yoweri Museveni afungia mitandao ya kijamii nchini humo kuelekea uchaguzi mkuu hapo kesho.// Waziri wa mambo ya nchi za nje Mike Pompeo aituhumu Iran kwa kuunga mkono mtandao wa kigaidi al-Qaeda.

https://p.dw.com/p/3nqM2