1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari, saa 12:00 asubuhi (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
28 Mei 2020

https://p.dw.com/p/3cry8

Marekani imetangaza hatua ya kuzidisha vikwazo dhidi ya Iran, kuilazimisha kukubali mpango mgumu zaidi kuhusu mradi wake wa nyuklia.

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel awataka Wajerumani kuendelea kuheshimu hatua za tahadhari ili kujilinda na maambukizi ya virusi vya corona.

Korti ya Ufaransa yakataa ombi la mtuhumiwa wa mauaji ya kimbari ya Rwanda, kutaka aachiwe kwa dhamana.