1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
JamiiUganda

Siku ya UKIMWI duniani Uganda imepiga hatua?

1 Desemba 2023

Leo dunia inaadhimisha siku ya UKIMWI, Uganda taifa la Afrika Mashariki lililoshuhudia hali mbaya katika miaka ya nyuma sasa limepiga hatua, lakini kuna changamoto bado ili kufikia malego ya dunia ya kutokomeza UKIMWI hadi 2030. Tazama video na Lubega Emmanuel

https://p.dw.com/p/4ZfKU
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio