You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Lubega Emmanuel
Ruka sehemu inayofuata Taarifa zilizoonesha na Lubega Emmanuel
Taarifa zilizoonesha na Lubega Emmanuel
Biashara Uganda zaathirika na maandamano ya Kenya
Athari hii inashuhudiwa hata kwa watu wa kawaida ambao walikuwa na shughuli kati ya nchi hizo mbili na usafiri.
Mbinu zinazotumiwa kutokomeza Malaria Uganda
Miongoni mwa mbinu zinazotumiwa na Uganda ni mpango wa kunyunyiza viwatilifu vya kuangamiza mbu wanaoeneza Malaria.
Afrika Mashariki inaweza kuwa na viwango sawa vya kodi?
Bunge la EALA limepitisha muswada wa kusawazisha sheria za kodi na ushuru lakini kuna mashaka ikiwa utaridhiwa.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Lubega Emmanuel
Taarifa na Lubega Emmanuel
Mataifa 14 ya Afrika yaanza biashara huria
Mataifa 14 ya Afrika yaanza biashara huria
Mataifa 14 ya kanda ya kusini, mashariki, kati na kaskazini mwa Afrika yameanza kutekeleza mpango wa eneo huru la kibias
Usalama waimarishwa Kampala kufuatia maandamano ya vijana
Usalama waimarishwa Kampala kufuatia maandamano ya vijana
Rais Museveni aliunga mkono maandamano hayo dhidi ya ufisadi na kuwataka vijana kufanya maandamano hayo kwa amani
Taka za plastiki zatumika kama malighafi mbadala kwa mbao
Taka za plastiki zatumika kama malighafi mbadala kwa mbao
Wakati dunia ikipambana na ukataji miti kwa ajili za matumiyi za kibinaadamu, kiwanda hiki kinatumia taka za plastiki kama malighafi kutengeneza samani na bidhaa za ujenzi. Tazama kisha tuachie maoni yako.
Mkutano wa wasimamizi wa TEHAMA wamalizika Kampala
Mkutano wa wasimamizi wa TEHAMA wamalizika Kampala
Mkutano mkuu wa mashauriano miongoni mwa mamlaka zinazosimamia sekta ya TEHAMA umemalizika mjini Kampala ambapo wajumbe kutoka mataifa zaidi ya 100 wameazimia kushirikiana katika kutanua na kuboresha huduma hizo ili ziwafikie watu wa matabaka yote. Mwandishi wetu Lubega Emmanuel alituletea ripoti hii kwa kina.
Kituo cha elimu ya awali kwa watoto wakimbizi
Kituo cha elimu ya awali kwa watoto wakimbizi
Jamii za wakimbizi na wenyeji Kaskazini Magharibi mwa Uganda wameanzisha vituo vya kutoa elimu ya awali kwa watoto. Walimu na walezi ni wanajamii ambao wamejitolea kuendesha shughuli hiyo baada ya kupokea mafunzo maalum. Ebu tazama vidio na uwapongeze walimu hawa.
Uganda yawarejesha raia waliodanganywa ajira Thailand
Uganda yawarejesha raia waliodanganywa ajira Thailand
Uganda imewarejesha nyumbani raia wake 23 waliokuwa wamepelekwa Myanmar wakidanganywa kupata kazi nchini Thailand.
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo