You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Lubega Emmanuel
Ruka sehemu inayofuata Taarifa zilizoonesha na Lubega Emmanuel
Taarifa zilizoonesha na Lubega Emmanuel
Mbinu zinazotumiwa kutokomeza Malaria Uganda
Miongoni mwa mbinu zinazotumiwa na Uganda ni mpango wa kunyunyiza viwatilifu vya kuangamiza mbu wanaoeneza Malaria.
Afrika Mashariki inaweza kuwa na viwango sawa vya kodi?
Bunge la EALA limepitisha muswada wa kusawazisha sheria za kodi na ushuru lakini kuna mashaka ikiwa utaridhiwa.
Uganda yapinga kuondolewa AGOA
Hii ina maana kuwa Uganda imepoteza soko la bidhaa zake mbalimbali ikiwemo zile za vitu vya sanaa, viungo na ngozi.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Lubega Emmanuel
Taarifa na Lubega Emmanuel
Wakimbizi wa Sudan wakumbuka vita kupitia sanaa
Wakimbizi wa Sudan wakumbuka vita kupitia sanaa
Wasanii wa Sudan ambao walikimbilia Uganda kutokana na vita vinyoendelea nchini mwao, wamefanya maonyesho ya Sanaa kukumbuka mwaka mmoja tangu kuzuka kwa vita hivyo. Miongoni mwa kazi zilizoonyeshwa ni picha zinazoelezea matukio ya vita. Lubega Emmanuel alihudhuria maonyesho hayo na kututumia video hii. #kurunzi
Wafanyabiashara wagoma Kampala
Wafanyabiashara wagoma Kampala
Mji mkuu wa Uganda Kampala umetikiswa na mgomo wa wafanyabiashara. Mgomo huo umetatiza shughuli za kawaida katika mji hu
Daktari mstaafu wa Ujerumani anayesaidia wakimbizi Uganda
Daktari mstaafu wa Ujerumani anayesaidia wakimbizi Uganda
Hospitali ya Panyadoli nchini Uganda ambayo inawahudumia mamia ya wakimbizi inakabiliwa na uhaba wa vifaa vya matibabu lakini juhudi za wahisani akiwemo Daktari mstaafu kutoka Ujerumani, zinaonekana kuleta matumaini ingawa bado idadi ya wakimbizi inaongezeka kila kukicha. Tizama vidio nzima.
Mahakama Uganda yapigilia msumari sheria inayopinga LGBTQ
Mahakama Uganda yapigilia msumari sheria inayopinga LGBTQ
Kulingana na mahakama hiyo, sheria hiyo dhidi ya mashoga inalinda utamaduni na hadhi ya watu wa taifa la Uganda.
Uteuzi wa Muhoozi kuwa CDF wa Uganda wazua hisia mseto
Uteuzi wa Muhoozi kuwa CDF wa Uganda wazua hisia mseto
Wengi wana mtazamo kuwa Museveni ametaka kumbadili fikra mwanawe asigombee urais kama alivyokuwa ametangaza hapo awali.
Wanaharakati wa mitandao Uganda wasema maisha yako hatarini
Wanaharakati wa mitandao Uganda wasema maisha yako hatarini
Wanaharakati wa mitandao Uganda wasema maisha yako hatarini
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo