1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

SADIKI UKIPENDA- Kijiji 'kinacholindwa' na nyoka?

6 Aprili 2021

Katika kijiji cha Nanguruwe, Mtwara nchini Tanzania, baadhi ya wakaazi wake wanaamini kuwa kijiji chao kinalindwa na joka kubwa kwa jina Mzee Livembe! Vipi? Kwa nini? Tangu lini? Inawezekanaje? Maswali kuhusu imani hii ni lukuki lakini Salma Mkalibala anayatafutia majibu kwenye video hii ya #Kurunzi #SadikiUkipenda.

https://p.dw.com/p/3rd1J