1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ramaphosa na ANC mpya.

Lilian Mtono
27 Desemba 2017

Baada ya makamu wa Rais nchini Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa kushika hatamu ya kukiongoza chama tawala nchini humo cha African National Congress, ANC, ni nini hasa anachokabiliwa nacho huko mbele kwa kuangazia changamoto zinazoikabili ANC? Sikiliza kipindi hiki cha Maoni kujua Zaidi.

https://p.dw.com/p/2pyrH