Viongozi wa dini wametumia mkutano wao na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuzungumza mambo mengi pamoja na hili la kwamba tumike busara kumaliza kesi inayomkabili kiongozi wa Chama cha upinzani cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake wengine. Zainab Aziz amezungumza na Askofu wa kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania KKKT Dayosisi ya Karagwe Dkt Benson Bagonza