Umoja wa Mataifa unauorodhesha mkoa wa Shinyanga uliopo kaskazini mwa Tanzania kuwa ni kati ya mikoa inayorekodi idadi ya juu zaidi ya wasichana wanaopata mimba na kuolewa katika umri mdogo. Katika vidio iliyoandaliwa na Veronica Natalis kuna taarifa ya hali ilivyo