Kwenye kuvaa na kupendeza kuna ajira ndani yake, huu ni msemo wa @mgece_cici_design aliyeamua kuachana na taaluma aliyoisomea na kuingia Katika ubunifu wa mavazi sababu tu alipenda kuonekana nadhifu na sasa ameajiri wengine. @miss_hadijahalifa anazungumza naye kujua vipi ilikuwa vigumu familia yake kumuunga mkono. #msichanajasiri