1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya mchana 28.10.2017

Yusra Buwayhid
28 Oktoba 2017

Mkuu wa polisi wa Catalonia apokonywa mamlaka baada ya serikali kuu ya Uhispania kuchukua udhibiti wa jimbo hilo. Hali nchini Kenya inatatanisha kufuatia uchaguzi wa marudio. Waziri wa ulinzi wa Marekani James Mattis asema kitisho cha silaha za nyuklia cha Korea Kaskazini chaongezeka.

https://p.dw.com/p/2mf9n