Tuliyo nayo mchana huu: Idadi ya vifo vilivyotokana na ajali ya kuzama kivuko cha MV Nyerere katika Ziwa Victoria nchini Tanzania imeongezeka na kufikia watu 167. Kansela Angela Merkel kutafuta suluhisho juu ya kuhamishwa kwa mkuu wa ujasusi wa ndani. Na Papa Francis aanza ziara ya siku nne katika nchi za Baltik.