1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya jioni .25.01.2020

25 Januari 2020

Vikosi vya usalama vya Iraqi vyayamia eneo kuu la maandamano mjini Baghdad la Tahrir, Iran yashtumu kile ilichokitaja kuwa ''Kuteswa na kuhujumiwa'' kwa raia wake na maafisa wa Marekani wanaohusika na usalama mpakani na mratibu wa Umoja wa Ulaya kupambana na ugaidi Gilles de Kerchove, asema Brexit, haitaathiri ushirikiano wa kubadilishana taarifa za kijasusi barani Ulaya.

https://p.dw.com/p/3WoYs