Hatua ya Rais wa Urusi Vladimir Putin ya kuweka tena wanajeshi wake karibu na Ukraine ni sehemu ya mbinu za Urusi kushinikiza Marekani iandae mkutano mwingine wa kilele kati ya viongozi wa nchi hizo mbili. Hayo ni kwa mujibu wa wapambe wa ndani katika duru za maswala ya sera za kigeni za Urusi.