1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya asubuhi 22.12.2018

Sylvia Mwehozi
22 Desemba 2018

Miongoni mwa mengi tuliyokuandalia asubuhii hii ni pamoja na matokeo ya kuahirishwa uchaguzi wa Jumapili huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Waziri wa ulinzi wa Marekani Jim Mattis ameamua kuondoka kwenye utawala wa Trump. Na wasanii nchini Kenya wameanzisha harakati za kuufufua utamaduni wa kutamba hadithi kutumia njia za kisasa.

https://p.dw.com/p/3AWmt