Mapigano Mashariki mwa Kongo
10 Septemba 2008Matangazo
Kuna ripoti pia kuwa majeshi ya waasi yamezuia barabara kati ya miji ya Bukavu na Goma hali ambayo inaweza kuzuwia shughuli za kawaida za wakaazi wa miji hiyo.
Sekione Kitojo alipata fursa ya kuzungumza na msemaji wa jeshi la waasi Kambusa Ngeze Jean Michel ambae kwanza alimuuliza ukweli wa taarifa hiyo kuhusu kukamatwa kwa eneo la barabara hiyo muhimu na waasi.
O-ton Jean Michel
►◄