Mapigano Mashariki mwa Kongo
29 Aprili 2008Matangazo
Wakati huo huo, mwakilishi maalum wa katiba mkuu wa umoja wa mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo,Allen Doss, anakanusha madai kwamba baadhi ya wanajeshi wa Umoja wa Mataifa huko Ituri walihusika na kuuza silaha na kupewa dhahabu.
Zaidi anaripoti mwandishi wetu John Kanyunyu