SiasaMaoni: Tanzania kama mwenyekiti wa SADC; fursa na changamotoTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaDaniel Gakuba16.08.201916 Agosti 2019https://p.dw.com/p/3O1xFMatangazoTanzania imechukua wadhifa wa mwenyekiti wa jumuiya ya kiuchumi ya nchi za Kusini mwa Afrika, SADC. Je ni zipi fursa na changamoto zinazomkabili Rais John Magufuli kama mwenyekiti wa Jumuiya hiyo? Sikiliza kipindi cha Maoni mbele ya Meza Duara.