Machafuko yazuka huko Fizi mashariki mwa Kongo
9 Aprili 2010Matangazo
Josephat Charo amezungumza hivi punde na kapteni Oliver Amuli, msemaji wa majeshi yanayoshiriki katika operesheni ya "Amani Leo" katika mkoa wa Kivu Kusini, na kwanza kumuuliza kinachoendelea katika eneo hilo.
Mtayarishaji: Josephat Charo
Mhariri: Othman Miraji