1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maambukizi mapya ya ukimwi bado yapo juu

24 Julai 2018

Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi ya Tanzania Leonard Maboko anaeleza kwamba maabukizi mapya ya virusi vya ukimwi bado ni ya kiwango cha juu duniani kote, wakati akihudhuria Kongamano la 22 la Kimataifa la UKIMWI mjini Amsterdam, Uholanzi.

https://p.dw.com/p/320wF