Leo ni siku ya watu wenye albino duniani ambapo kwa Tanzania kitaifa inafanyika mjini Dodoma. Pamoja na kampeni mbalimbali jamii ya watu wenye ulemavu wa ngozi bado inaishi kwa mashaka kutokana vitendo vya imani potofu ambavyo vinaendelea kuripotiwa maeneo mbalimbali vikilenga watu wa jamii hiyo.