JamiiKuwa na ulemavu wa kusikia si sababu ya kuwa tegemeziTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiJohn Juma04.04.20184 Aprili 2018Ili kuepuka maisha ya kuwa tegemezi siku za baadaye, wanafunzi hawa kutoka chuo cha viziwi Buguruni wanajiwekea jiwe la msingi kwa kusomea taaluma ya ushonaji nguohttps://p.dw.com/p/2vUvkMatangazo