JamiiKutana na 'Super Woman' mjasiriamali wa TanzaniaTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiZainab Aziz Salim-Mtullya04.01.20194 Januari 2019Katika wikendi ya kwanza ya mwaka mpya 2019 Zainab Aziz anakukaribisha kusikiliza kipindi cha Karibuni. Mgeni wa wiki ni Salma Marsheed ambaye ni mjasiriamali na msikilizaji wa mwezi ni Fuso wa Fuso. https://p.dw.com/p/3B1tLMatangazo