Ngedere ni aina ya kima waliozoweleka kuishi kwenye misitu yenye miti mikubwa. Lakini katika hali ya kushangaza wanyama hawa wanapatikana barabara za mjini Dar es Salaam, kwenye majengo ya ghorofa. Angalia jinsi wanavyotangamana na binaadamu mjini humo. Je, ukimuona utakimbia ama utampa chakula?