Wengi huwa na hofu ya kupimwa virusi vya HIV, hofu ambayo haijulikani inapotokea. Baadhi wanapokwenda kupimwa hawataki kuchukua majibu. Sikiliza makala ya Afya Yako iliyoandaliwa na mwandishi wa DW George Njogopa kuhusu kampeni ya kupima virusi hivyo nchini Tanzania.