SiasaKabendera afikishwa mahakamaniTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaJacob Safari12.09.201912 Septemba 2019Mwandishi wa habari za uchunguzi nchini Tanzania, Eric Kabendera anayeshtakiwa kwa makosa matatu ikiwamo la utakatishaji fedha leo amepandishwa kizimbani katika mahakama ya Kisutu, huku hali ya afya yake ikiwa imezorota. https://p.dw.com/p/3PU5yMatangazo