Serikali ya Tanzania imesema imefanikiwa kuuzima moto katika mlima Kilimanjaro huku Waziri wa Maliasili na Utalii nchini humo Hamisi Kigwangalla akisema mvua zilizonyesha zimesaidia kuupunguza moto na wizara yake imejipanga kudhibiti majanga kama hayo. #kurunzi 15.10.2020